Lala
Pepo pepo wanakusema kama upepo
Tangu utoto
Tumepatana umerudi soko
Kwa mwangaza we ndo nyota waniongoza aa aaah
My dear wapendeza na sio chocha
Aaah aaah
Mwanzo unadatisha
Kifupi umeniziba unatatisha
Unavyokwenda basi rudi wamelalisha
Kata kiuno ukikatisha
Wanapenda unavyo chachisha
Basi kwendoka wanamazisha
Na taratibu uki shukisha
Macho kama yavuta shisha
Yaani kama ume Lala
La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Verse 2
Leo tumekuja sababisha
Harakisha usipite kwa dirisha
Mgongo unapinda unaniita
Hivo hivo tutapost insta
Nasema leo tuta trend paka twitter
Na facebook pia tutatisha
Na nguo pia mama nitakuvisha
Aaah aaah aaah
I like the way you wine wine
Girl uko nyuma uko fine fine
Uko nyuma umebeba nine by nine
You are pretty
You are sweet like a fine wine
Shake your waist
Shake your bumbum
Hiyo pipii ndio Tam tam
Chorus
Yaani kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Verse 3
Ah unachachisha na flavour ya shisha
Nilikucheki insta chali amekushika
Nashindwa mbona mbona ulinificha
Ama ni juu studio nilikunyima feature
Na zile picha tulizipiga lini
Unajifanya jogoo tangu mjini
Uko maji ama ukona majini
Tangu lini me nikafuata dini
Nisaremia ndo tukule tu hamsini
Na sina nia kufanya tendo la kuzini
Story zako zimeshika kaska kusini
Chorus
Yani kama ume Lala
La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Tangu utoto
Tumepatana umerudi soko
Kwa mwangaza we ndo nyota waniongoza aa aaah
My dear wapendeza na sio chocha
Aaah aaah
Mwanzo unadatisha
Kifupi umeniziba unatatisha
Unavyokwenda basi rudi wamelalisha
Kata kiuno ukikatisha
Wanapenda unavyo chachisha
Basi kwendoka wanamazisha
Na taratibu uki shukisha
Macho kama yavuta shisha
Yaani kama ume Lala
La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Verse 2
Leo tumekuja sababisha
Harakisha usipite kwa dirisha
Mgongo unapinda unaniita
Hivo hivo tutapost insta
Nasema leo tuta trend paka twitter
Na facebook pia tutatisha
Na nguo pia mama nitakuvisha
Aaah aaah aaah
I like the way you wine wine
Girl uko nyuma uko fine fine
Uko nyuma umebeba nine by nine
You are pretty
You are sweet like a fine wine
Shake your waist
Shake your bumbum
Hiyo pipii ndio Tam tam
Chorus
Yaani kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Verse 3
Ah unachachisha na flavour ya shisha
Nilikucheki insta chali amekushika
Nashindwa mbona mbona ulinificha
Ama ni juu studio nilikunyima feature
Na zile picha tulizipiga lini
Unajifanya jogoo tangu mjini
Uko maji ama ukona majini
Tangu lini me nikafuata dini
Nisaremia ndo tukule tu hamsini
Na sina nia kufanya tendo la kuzini
Story zako zimeshika kaska kusini
Chorus
Yani kama ume Lala
La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Kama ume Lala La la la la laaa
Credits
Writer(s): Kelvin Athumani Yalibi, Maxwell Otieno Omondi, Meltas Javan Juma
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.