Ukimwona
Mungu aliumba dunia, mapenzi tangu na tangu
Yashanipiga sasa sina budi nilewe
Siwezi kung'ang'ania maana sio fungu langu
Japo ni shida ila nitabaki mwenyewe
Ila mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
Mwambie mi bado mahututi, nauguza kidonda changu
Na asisikie hasirani, mwambie mapenzi mabaya
Hata angali hai Kairuki, asingetibu gonjwa langu
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani ninasaga rumba (rumba)
Ah unanidunda dunda
Sema chine tembee, moyo
Unanidunda dunda (mummy moyo)
Sina amani ninasaga rhumba (oh mimi)
Unanidunda dunda
Eeh, ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
We nenda umwambie marafiki, marafiki wabaya
Tena wengi waongo, wala wasimdanganye
Oya ni mashoga, rafiki, oh marafiki wabaya
Oh, mmh
Tatizo mi bado nilipoteleza nikakosa sipajui
Mpaka akafunga virago na akaamua kuondoka sitambui
Mbaya kinachoniumiza, maneno, neno, maneno
Mara kwa ndugu, rafiki, kwa nini anawapa misemo?
Na ajaribu papasa maana kwa macho hataona chochote
Ila ndo kutwa mikasa na ninazidi kuanguka, niokote
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani ninasaga rumba (rumba)
Ah unanidunda dunda
Sema chine tembee, moyo
Unanidunda dunda (mummy moyo)
Sina amani ninasaga rumba (oh mimi)
Unanidunda dunda
Eeh, ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Yashanipiga sasa sina budi nilewe
Siwezi kung'ang'ania maana sio fungu langu
Japo ni shida ila nitabaki mwenyewe
Ila mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
Mwambie mi bado mahututi, nauguza kidonda changu
Na asisikie hasirani, mwambie mapenzi mabaya
Hata angali hai Kairuki, asingetibu gonjwa langu
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani ninasaga rumba (rumba)
Ah unanidunda dunda
Sema chine tembee, moyo
Unanidunda dunda (mummy moyo)
Sina amani ninasaga rhumba (oh mimi)
Unanidunda dunda
Eeh, ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
We nenda umwambie marafiki, marafiki wabaya
Tena wengi waongo, wala wasimdanganye
Oya ni mashoga, rafiki, oh marafiki wabaya
Oh, mmh
Tatizo mi bado nilipoteleza nikakosa sipajui
Mpaka akafunga virago na akaamua kuondoka sitambui
Mbaya kinachoniumiza, maneno, neno, maneno
Mara kwa ndugu, rafiki, kwa nini anawapa misemo?
Na ajaribu papasa maana kwa macho hataona chochote
Ila ndo kutwa mikasa na ninazidi kuanguka, niokote
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani ninasaga rumba (rumba)
Ah unanidunda dunda
Sema chine tembee, moyo
Unanidunda dunda (mummy moyo)
Sina amani ninasaga rumba (oh mimi)
Unanidunda dunda
Eeh, ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Ukimwona, ukimwona
Credits
Writer(s): Diamond Platnumz
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.