Unaniweza

Abbah

Pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororo
Ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi mdororo

Ukiwa karibu na mie, najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, umetia fora
We ndio dakitari, darling, nikitaka kupona

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto, moto
Labda upite ushetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea I don't care
Kila kukicha choko choko, choko

Unavyonipa raha, ndiyo nanenepa mie
Penzi lako natinga, naringa nabembea
Kinachokufaaa, usisite niambie
Kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee

Ukiwa karibu na mie, najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, umetia fora
We ndio dakitari, darling, nikitaka kupona

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza, I do it for love
For love
Unaniweza weza, I do it for love
For love, I do it for love

Unaniweeeza

Abbah



Credits
Writer(s): Juma Mkambala
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link