Sio Mbaya

Kwa nini ukiniona
Unakosa furaha
Si acha kuna kuna
Kwa nini ujipe karaha mama

Mi najua unachotaka wee
Unachowazaga
Ata mimi napitiaga
Ila tunajikaza eeh

Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness
Loneliness

Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako kuna loneliness
Loneliness

Najua kuna vingi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya nieleze

Endapo utanimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Nipigie, kwangu mimi sio mbaya
Mama nipigie, kwako mimi sio mbaya nieleze

Nieleze, nieleze
Oooh no no no no

Kuna mazuri mengi umefanya
Sikutangaza ubaya aaah
Kuna mazuri mengi nimefanya
Sitokusemea ubaya aah

Please let me know oh oh oh
Nijue walisoma igizo, maigizo
Let me know oh oh oh
Labda we mimi sina tatizo, tatizo

Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness
Loneliness

Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Naona loneliness
Loneliness

Najua kuna mengi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah sio mbaya, kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya naomba nieleze

Ukininimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Mama mama ma, kwangu mimi sio mbaya
Nasema, kwangu mimi sio mbaya nieleze

Moyo wako unataka taka
Mdomo wako nakataza taza
Naamua kunyamaza maza
Bora useme unachowaza waza

Unajua mama
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya nieleze

Ukininimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya nieleze



Credits
Writer(s): Juma Mkambala
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link