Na Iwe

Utokapo na uingiapo na uendapo aah oh
Baraka na zikufuate na kila uendapo
Uketipo usimamapo na ulalapo aah ooh
Naiwe, naiwe, na iwe, na iwe

Na iwe, siku ya baraka
Na iwe, siku ya amani
Na iwe, siku ya upendo
Na iwe, na iwe

Ni baraka tunapokea tunashukuru sana
Kutuinua na kutupenda unatupenda sana
Mwangaza na kubwa nuru twaiona njiani
Tusimame na tukusifu

Na iwe, na iwe
Na iwe, na iwe

Na iwe, siku ya baraka
Na iwe, siku ya amani
Na iwe, siku ya upendo
Na iwe, na iwe

Naonyeshwa upendo wako juu yetu
Ukafanya neno liwe njia kazi yetu
Maisha yetu baraka zako wewe Baba
Nitakusifu kukuabudu daima
Maisha yetu baraka zako wewe Baba
Nitakusifu kukuabudu daima

Na iwe, na iwe
Na iwe, na iwe

Na iwe, siku ya baraka
Na iwe, siku ya amani
Na iwe, siku ya upendo
Na iwe, na iwe



Credits
Writer(s): Judith Wambura Mbibo
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link