Tunashine

Aanh Yeah
Right
Go busy Get harder make Money die rich men
Ahaha Hunters records

Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah yeah we gotta gotta make maney nigger
Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger

Nipate kwenye game
Niite mr whyne
Usini blame go faster ndo my real name
Nataka kua fame
Na kuwin madem so kwenye hili game kamwe usiniblame
Tumetoka mbali eeh
Mziki ni safari heh
Hapa nilipo si zari nkisaka mali heh
Busy busy everyday
Mishemishe on the way
We gotta cash babe but cashbae
Usiniblame kwenye rap mi na fly
Me napenda zaidi tu kupiga juu na swaga
Ndo maana wengi wa sikuhizi hua wanasaga
Wakiona vile mtaani mi hua nakaaga men

Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah yeah we gotta gotta make maney nigger
Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger

Everyday mnaskiza kwa maredio
Nasasa nataka mnicheki kwa mavideo
Nimetuliza ma producer wangu hamso
And this is how we do (We taking over)
Kushinda na mi nikama walking over
Ama umwambia paster aseme jehova
Nimesha toka na kurudi nyuma never
Nawakilisha hiphop forever and ever
Kama mseto na tuva
Mlevi na hangover tunda la kati na ever
Ama police na jazba yeah they gotta see me shine nigger yeah
This is how we do (We taking over)

Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah yeah we gotta gotta make maney nigger
Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger

Everyday si tuko busy tunasaka money kichizee
Hamso men niko na whyne tunasaka money

Everyday tuko busy busy tunasakanya money kichize
Hamso men nipo na whyne tunasakanya money

Wako wapi walosema mziki haulipi
Mbona Everyday nawapita nikipiga pippip
Hawachoki kusema mchizi wetu hatuendi mbali hebu please tupe lifti
Mstari yangu kama vile water kwenye tap
Ndo maana mafans wangu wote wana clap
Easy come easy go hivo ndo me mchizi na flow sipendi hawa ma bisho kwenye game Wananipaa

Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah yeah we gotta gotta make maney nigger
Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine
Everyday we make the money
Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger



Credits
Writer(s): Abdalla Chidyanga
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link