Pumzika
We Ukiskia kupumzika huwa unaelewa nini/
Huenda unavyoelewa wewe sivyo navyoelewa mimi/
Amini kwamba Ila amini usiamini/
Wote tuko sawa tunapozungumzia hili/
Kila mtu hupumzika anavyojua yeye/
Kwa muda na mahali anapokuwa yeye/
Nje au ndani Asubuhi au jioni/
Unatembea, umekaa, umetulia au umembonji/
Utachagua mwenyewe njia ipi ni ipi/
Pumzika uboreshe afya ya akili na mwili/
Punguza stress weka kumbukumbu sawa/
Imarisha kinga ya mwili, mizuka sana/
Vuta pumzi, jipe vi break hata kidogo/
Usiconfuse na uzembe acha kukaza ubongo/
Najua kuwa unaenda resi na mitkasi/
Ila hakikisha daily una rest una relax/
Refresh ka una press F5 kwa keyboard/
Relax jipe break usifanye mambo Kwa mpigo/
Hata ukisoma kwa usongo au michongo dili nyingi/
Kama unapumzisha chombo mwili vipi/
Unapofanya yako huna budi ujipooze/
Punguza mawazo vuta pumzi jinyooshe/
Afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Usingoje mpaka sikukuu na vacay/
Eti ndo upumzike kwenye siku hizo pekee/
Jenga utaratibu, upumzike kila siku/
Mambo ni mengi huwezi finish kila kitu/
Mambo yenyewe sometime yanachanganya yanavuruga/
Sa kwa nini usijitenge na dunia hata kwa muda/
Mfupi, we vuta kiti kaa/
Kisha fanya choice njia Ipi itakufaa/
Fanya tahajudi au practice yoga/
Kama ni kutembea huko outside toka/
Ukirudi, jimwagie maji oga/
Take a shower iwe safi over/
Technique ni nyingi yani zipo kama zote/
Kama unaweza mbona simpo Fanya zote/
Kabla ya kazi,muda wa kazi baada ya kazi/
Tumia hayo ma gap sawasawa kurelax/
Refresh ka una press F5 kwa keyboard/
Relax jipe break usifanye mambo Kwa mpigo/
Hata ukisoma kwa usongo au michongo dili nyingi/
Kama unapumzisha chombo mwili vipi/
Unapofanya yako huna budi ujipooze/
Punguza mawazo vuta pumzi jinyooshe/
Afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Kama Hauko fresh, umestuck, uko tired/
Ukilala una reset, recover, recharge/
Hata usipolala bado sio swala si unanielewa/
Inhale exhale jinyoshe pigwa na hewa/
Uuuuh afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Hebu skiza huu mziki vizuri/
Hizo hasira huenda hupumziki vizuri/
Maudhi na kero vitu havishiki vizuri/
Sometime hujigijigi vizuri/
Relaxation sets mood ya kazi na other desires/
Ifanye ka sanaa ifanye kama ni science/
Jitahidi sana na Ufanyage juu chin/
Ongeza kupumzika kwenye daily routine/
Kupumzikaa ni jambo la mbolea jo/
Na sio mpango ukachorea jo/
We do biz piga shugli bana/
Yeah! Yaliyosemwa yafanyike/
Nimeshachana ngoja nikapumzike/
... Na hii ni Shule na Shule Micshariki yeah yeah!!!
Huenda unavyoelewa wewe sivyo navyoelewa mimi/
Amini kwamba Ila amini usiamini/
Wote tuko sawa tunapozungumzia hili/
Kila mtu hupumzika anavyojua yeye/
Kwa muda na mahali anapokuwa yeye/
Nje au ndani Asubuhi au jioni/
Unatembea, umekaa, umetulia au umembonji/
Utachagua mwenyewe njia ipi ni ipi/
Pumzika uboreshe afya ya akili na mwili/
Punguza stress weka kumbukumbu sawa/
Imarisha kinga ya mwili, mizuka sana/
Vuta pumzi, jipe vi break hata kidogo/
Usiconfuse na uzembe acha kukaza ubongo/
Najua kuwa unaenda resi na mitkasi/
Ila hakikisha daily una rest una relax/
Refresh ka una press F5 kwa keyboard/
Relax jipe break usifanye mambo Kwa mpigo/
Hata ukisoma kwa usongo au michongo dili nyingi/
Kama unapumzisha chombo mwili vipi/
Unapofanya yako huna budi ujipooze/
Punguza mawazo vuta pumzi jinyooshe/
Afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Usingoje mpaka sikukuu na vacay/
Eti ndo upumzike kwenye siku hizo pekee/
Jenga utaratibu, upumzike kila siku/
Mambo ni mengi huwezi finish kila kitu/
Mambo yenyewe sometime yanachanganya yanavuruga/
Sa kwa nini usijitenge na dunia hata kwa muda/
Mfupi, we vuta kiti kaa/
Kisha fanya choice njia Ipi itakufaa/
Fanya tahajudi au practice yoga/
Kama ni kutembea huko outside toka/
Ukirudi, jimwagie maji oga/
Take a shower iwe safi over/
Technique ni nyingi yani zipo kama zote/
Kama unaweza mbona simpo Fanya zote/
Kabla ya kazi,muda wa kazi baada ya kazi/
Tumia hayo ma gap sawasawa kurelax/
Refresh ka una press F5 kwa keyboard/
Relax jipe break usifanye mambo Kwa mpigo/
Hata ukisoma kwa usongo au michongo dili nyingi/
Kama unapumzisha chombo mwili vipi/
Unapofanya yako huna budi ujipooze/
Punguza mawazo vuta pumzi jinyooshe/
Afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Kama Hauko fresh, umestuck, uko tired/
Ukilala una reset, recover, recharge/
Hata usipolala bado sio swala si unanielewa/
Inhale exhale jinyoshe pigwa na hewa/
Uuuuh afya kwanza bwana mentally and physically/
Ka uko sawa uko shega ni ushindi b/
Hebu skiza huu mziki vizuri/
Hizo hasira huenda hupumziki vizuri/
Maudhi na kero vitu havishiki vizuri/
Sometime hujigijigi vizuri/
Relaxation sets mood ya kazi na other desires/
Ifanye ka sanaa ifanye kama ni science/
Jitahidi sana na Ufanyage juu chin/
Ongeza kupumzika kwenye daily routine/
Kupumzikaa ni jambo la mbolea jo/
Na sio mpango ukachorea jo/
We do biz piga shugli bana/
Yeah! Yaliyosemwa yafanyike/
Nimeshachana ngoja nikapumzike/
... Na hii ni Shule na Shule Micshariki yeah yeah!!!
Credits
Writer(s): Adam Seleman
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.