Nisamehe
Woouoh eeiyeh ehee
Najua umechukia sana
Ni haki yako kuchukia
Najuta kwa ya niliyotenda kwako
Sijui ni nini kiliniponza
Simu zangu nikipiga
Hutaki kuzipokea
Natambua kama nimekosa
Binadamu pia ninakosea
Rudisha moyo wako nyuma
Kumbuka wapi tuliko toka
Starehe za dunia mama
Zako zilinipotosha
Nili date na dada yako
Rafiki zako eeh
Nikavunja heshima yako
Bila kujali we
Napiga magoti mbele
Yako ya nyuma yaishe
Nili date na dada yako
Rafiki zako eeh
Nikavunja heshima yako
Bila kujali we
Napiga magoti mbele
Yako ya nyuma yaishe
Nisamehe
Nisamehe pasi na ya kinyongo
Nisamehe
Nisamehe pasi na ya masharti
Nisamehe yeiyeh
Nisamehe pasi na ya vikwazo oh
Japo uliniumiza sana
Sina mfano wa kutoa
Mapenzi bure uligawa
Nikakosa wako wa ndoa
Imani yangu ilinitoka
Nikajua ndo basi tena
Kufanya kosa sio kosa
Kurudia kosa ndio makosa
Kufanya kosa lile lile
Ndio kosaa
Nisamehe eeh
Nisamehe pasi na ya kinyongo
Nisamehe yeyeh
Nisamehe pasi na ya masharti
Nisamehe yeiyeh
Nisamehe pasi na ya vikwazo oh
Kwisha kusema wangu lazizi
Mama
Yeiyeh yeyeyeh
Mama
Yeiyeh yeyeyeh
Najua umechukia sana
Ni haki yako kuchukia
Najuta kwa ya niliyotenda kwako
Sijui ni nini kiliniponza
Simu zangu nikipiga
Hutaki kuzipokea
Natambua kama nimekosa
Binadamu pia ninakosea
Rudisha moyo wako nyuma
Kumbuka wapi tuliko toka
Starehe za dunia mama
Zako zilinipotosha
Nili date na dada yako
Rafiki zako eeh
Nikavunja heshima yako
Bila kujali we
Napiga magoti mbele
Yako ya nyuma yaishe
Nili date na dada yako
Rafiki zako eeh
Nikavunja heshima yako
Bila kujali we
Napiga magoti mbele
Yako ya nyuma yaishe
Nisamehe
Nisamehe pasi na ya kinyongo
Nisamehe
Nisamehe pasi na ya masharti
Nisamehe yeiyeh
Nisamehe pasi na ya vikwazo oh
Japo uliniumiza sana
Sina mfano wa kutoa
Mapenzi bure uligawa
Nikakosa wako wa ndoa
Imani yangu ilinitoka
Nikajua ndo basi tena
Kufanya kosa sio kosa
Kurudia kosa ndio makosa
Kufanya kosa lile lile
Ndio kosaa
Nisamehe eeh
Nisamehe pasi na ya kinyongo
Nisamehe yeyeh
Nisamehe pasi na ya masharti
Nisamehe yeiyeh
Nisamehe pasi na ya vikwazo oh
Kwisha kusema wangu lazizi
Mama
Yeiyeh yeyeyeh
Mama
Yeiyeh yeyeyeh
Credits
Writer(s): Job Ndile
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.