Simama Imara
Niko mbali nawe mpenzi
Wangu wee ninatamani
Niwe nawe daima ooh
Pesa ninakutumia singojei
Mwisho wa mwezi
Mungu ananijalia we
Japo nikikutumia ujumbe mfupi
We majibu yako yanachelewa
Sana oooh
Kila nikikupigia simu
Namba haipatikani
Kila nikikupigia simu
Namba inatumika
Ooooh kuna nini huko
Ooooh kuna nini huko
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Wanaojifanya kukupenda
Sana uwaepuke eh
Nia yao wakutumie halafu
Wakutupe kama bua la muwa
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Mimi nawe tumetoka mbali sana
Nani asiyelijua hilo
Mioyo yetu iache idunde
Kama moyo mmoja oouoh oh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Pitapita mbele yao huku
Ukiwa umependeza sana
Wacha wahangaike ye yei yeh
Najua watayasema mengi sana
Mimi nitayaziba masikio
Yo yoiyooh
Watasema umelisha limbwata
Ndio maana sishawishiki
Wala sihangaiki yooh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Wanaojifanya kukupenda
Sana uwaepuke eh
Nia yao wakutumie halafu
Wakutupe kama bua la muwa
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Mimi nawe tumetoka mbali sana
Nani asiyelijua hilo
Mioyo yetu iache idunde
Kama moyo mmoja oouoh oh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Wangu wee ninatamani
Niwe nawe daima ooh
Pesa ninakutumia singojei
Mwisho wa mwezi
Mungu ananijalia we
Japo nikikutumia ujumbe mfupi
We majibu yako yanachelewa
Sana oooh
Kila nikikupigia simu
Namba haipatikani
Kila nikikupigia simu
Namba inatumika
Ooooh kuna nini huko
Ooooh kuna nini huko
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Wanaojifanya kukupenda
Sana uwaepuke eh
Nia yao wakutumie halafu
Wakutupe kama bua la muwa
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Mimi nawe tumetoka mbali sana
Nani asiyelijua hilo
Mioyo yetu iache idunde
Kama moyo mmoja oouoh oh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Pitapita mbele yao huku
Ukiwa umependeza sana
Wacha wahangaike ye yei yeh
Najua watayasema mengi sana
Mimi nitayaziba masikio
Yo yoiyooh
Watasema umelisha limbwata
Ndio maana sishawishiki
Wala sihangaiki yooh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Wanaojifanya kukupenda
Sana uwaepuke eh
Nia yao wakutumie halafu
Wakutupe kama bua la muwa
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Mimi nawe tumetoka mbali sana
Nani asiyelijua hilo
Mioyo yetu iache idunde
Kama moyo mmoja oouoh oh
Mpenzi wangu we usije
Ukahadaiwa
Mpenzi wangu we
Simama imara
Credits
Writer(s): Job Ndile
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.