BamBam (feat. Zuchu)

Oshumba na mashumba wena
Oshumba na mashumba wena
Oshumba na mashumba weena
Oshumba na mashumba wena
Oshumba na mashumba wena
Oshumba na mashumba weena
Oshumba na mashumba wena
Oshumba na mashumba wena

Aika tox aikatai
Na enjoy mapenzi ananipenda wallah
Sikuizi ki boss acha nijidai
Penzi limefana kama suti na tai limenogaa aah!
Raha tu chumbani bafana bafana
Kitandani ananichezesha shere
Nimeoza moyo maini maini paka bandama
Ye ndo kucha kanikuna kiperee

Asa! Wenzenu leo atulali kitanda cha moto
Wakubwa tunakesha kulala tuwaachie watoto
Usiku ndo hatari moto juu ya moto
Tunaziama sayari yaani chocho juu ya chocho

Mi na yeye bam bam bam
Ye ndo hawa mi adam dam dam
Wenzenu penzi letu tam tam tam
Mi na yeye dam dam dam

Zuu chu chu chu chu!
My baby good morning itika how are you (How are you)
Mi siko fine toka jana usiku
Nisipo kuona tu honey mi presha yawa juu (Yawa juu)
Naogopa vinyani visikuibe my boo
Oooo ooh! kwake natolewa miba
Wa samaki kolekole (Oooo ooh!)
Ananilisha nashiba
Kisha ananipa pole onana
Onanana ononono
Pendashana I love you more more
Na tukigombana mtulize mishono
Tunajuwana mtachoka midomoo

Wenzenu leo atulali kitanda cha moto (Eh!)
Wakubwa tunakesha kulala waachie watoto
Usiku ndo hatari moto juu ya moto
Tunaziama sayari yaani chocho juu ya chocho

Mi na yeye bam (Weee!) bam bam
Ye ndo hawa mi adam dam dam
Wenzenu penzi letu tam tam tam
Mi na yeye dam dam dam
Tamtam tamtam tam tam
Aaaah aah! Aaaah aah!
Hhhhm hhm! Hhm! Hhm!
Hhhhm hhm! Hhm!

Onanana ononono
Pendashana I love you more more
Na tukigombana mtulize mishono
Tunajuwana mtachoka midoomo



Credits
Writer(s): Alvin Handro, Dvoice Ginni, Zuhura Soud
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link