Nimezama (feat. Zuchu)

Hhm! Habibi nikuulize swali
Kipi cha kukuongeza
Kama unaona bado sema kilichopungua
Vingine vyote tayari madeko kunidekeza
Umeniwezea haapo chali mi ushaniuwa
Penzi lako mradi naweza kuuulikopea
Mamlaka yenye kodi watudai na fidia
Aah! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia
Hhhhmm! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia

Ufukweniiiii
Ufukweni mwa bahari aaah! Mikono
Mikono tumeshikana aaah! Mawimbi
Mawimbi yameshamiri
Nyoyo ziiime! Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama

Aah! Upande kanga ukinivalia
Kiunoni shanga zinachungulia
Ndo ugonjwa wangu, ndo ugonjwa waaa aaah!
Wala siendi kwa mganga wakaniibia
Mama nyakanga nimemrithia
Sio shida zangu, sio shida zaaa
Na aah! Huba lako biriani
Lenye shombo shombo ya mbuzi
Aiiy napenda unavyonisifu laini
Aah! Nafaa kwa matumizi

Ufukweniiiii
Ufukweni mwa bahari aaah! Mikono
Mikono tumeshikana aaah! Mawimbi
Mawimbi yameshamiri
Nyoyo ziiime! Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama (Kwako nimeraaa niko rarararara)
Kwako nimezama (Kwako nime nimezaama)
Kwako nimezama (Oooh nimezaa nimezaama)
Kwako nimezama (Kwako nime eeeh eeh zama)

Hili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani
Hili penzi limemshindwa shetani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani



Credits
Writer(s): Abdul Juma Eid
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link