Kama Wengine (feat. Diamond Platnumz)

Oyaaa unajifanya aah aah aaah!
Aah! unajifanya mtu wa dini mchana
Usiku kidimbwi unagombania mabwana
Unajifanya haujatumika msichana
Sa nimechomeka sa mbona haijabana

Oya wee! We malaya tu kama malaya wengine
Oyaa wee! We utumbo tu kama utumbo mwengine aaah ah!

Aah! Snichi sio mwana, mwana sio snichi
Nikiwa nae shemu kumbe nkiondoka sweet
Viushauri penzi langu kunipatia
Kumbe kwa nyuma bebe yangu unaivizia

Wee snichi tuu kama masnichi wengine
Oya wee! We kuwadi tu kama kuwadi wengine inee!

Unajifanya upendi waganga unapenda masheikh
Kujifanya dogo janja kama ujabalehe
Kumbe wewe na mimi wote walewale
Tofauti mganga wako wa buza wangu wa tandale

Oya wewee we mchawi tu kama wachawi wengine
Ololooo oya wewe
We ni mwanga tu kama wanga wengine
Oyaaa

Unaheshimu ramadhani unazini shabani (Toooba)
Mchana stara usiku viwanjani
Sa mahubiri yako unamuhubiria nani
We na mimi woote kesho motoni

Oya! Wee shetani tu kama shetani wengine
Yani wewe oya wewe
We firauni tu ka firauni wengine

Asaa nikilewa bwiii! Msiniache mnibebe
Nikiwa tungi bwiii! Msiniache mnibebe
Eh! Nikivesha bwiii! Msiniache mnibebe
Nikipuuliza bwiii! Msiniache mnibebe
Haya nibebe nibebe nibebe nibebeee
Nibebe nibebe nibebe nibebeee
Oya kwenye ofa za bia msiniache mnibebe
Mkienda viwanja msiniache mnibebe
Wanangu wasafi fest msiniache mnibebe
Wee kwenye vibe msiniache mnibebe
Haya nibebe nibebe nibebe nibebee
Nibebe nibebe nibebe nibebee
Sawa niite chizi mwendawazimu
Wewe apo msukule (Kulee)
Kama ulikula changu kwa simu jua akiendi bure (Buree)
Niite chizi mwendawazimu wewe apo msukule (Kulee)
Kama ulikula changu kwa simu basi akiendi bure
Hasa muda wakulipa (Lipaa)
Muda wakuchojoa (Chojoa)
Muda wakulipa (Lipaa)
Muda wakuchojoa
Dada muda wakulipa (Lipaa)
Muda wa kuchojoa (Chojoa)
Muda wa kulipa baba (Lipaa)
Muda wa kuchojoa
Nilipotoka mwenye nyumba kanivurura
Kanipandishia kodi ghafla kwa dharura
Nilipotoka mwenye nyumba kanivurura
Paka nahisi joto kama kusaula
Saa na wewe saula sasa mwanangu saula sasa (Saula)
Saula sasa nione saula sasa (Saula)
Saula sasa wanangu saula sasa (Saula)
Saula sasa ivue saula sasa (Saula)
Oya wakilewa wao wana vibe tukilewa si tuna stress
Saa nawanywea gongo niwashe moto kudadeki
Wakilewa wao wana vibe tukilewa si tuna stress
Saa nawalia kitu niwashe moto kudadeki
Niwashe nsiwashe (Washa)
Wanangu niuwashe (Washa)
Niwashe nsiwashe (Washa)
Wahuni niwashe (Washa)
Nauliza niuwashe (Washa)
Ama nsiwashe (Washa)
Machizi boti niwashe (Washa)
Ama ni siiii waa...!



Credits
Writer(s): Abdul Hamisi Mtambo
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link